Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 5-8

Nehemia Alikuwa Musimamizi Muzuri Kabisa

Nehemia Alikuwa Musimamizi Muzuri Kabisa

Tishri 455 M.K.Y.

8:1-18

  1. Wakati huu, inawezekana Nehemia aliongoza watu ili wakusanyike kwa ajili ya ibada ya kweli

  2. Watu walifurahi sana

  3. Wanaume wenye walikuwa vichwa vya makabila walikusanyika ili kuona namna gani taifa linaweza kufuata muzuri zaidi Sheria ya Mungu

  4. Watu walijitayarisha ili kukumbuka kwa furaha Sikukuu ya Vibanda