TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
Kampanye ya Kualika Watu ku Ukumbusho (Tarehe 27/02–27/03)
“Tunakuja [ao tunakuita ao tunakuandikia] ili kukualika kwenye tukio la maana sana. Watu mingi sana watakutana ili kukumbuka kifo cha Yesu.” Umupatie musikilizaji mualiko [ao umuandikie]. “Ku huu mwaliko utaona saa na mahali kwenye ule mukutano utafanyika mu eneo letu [ao namna unaweza kufuata ule mukutano kupitia Enternete]. Tena, tunakualika kusikiliza hotuba ya pekee yenye itatolewa juma moja mbele ya juma la Ukumbusho.”
Kama Mutu Anapendezwa: Umuonyeshe video Tukumbuke Kifo cha Yesu [ao umuandikie.]
Ulizo la Kuachia Mutu: Juu ya nini Yesu Alikufa?
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza
Ulizo: Yesu alikuwa nani?
Andiko: Mt 16:16
Ulizo la Kuachia Mutu: Juu ya nini Yesu alikufa?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA:
Kumurudilia Mutu
Ulizo: Juu ya nini Yesu alikufa?
Andiko: Mt 20:28
Ulizo la Kuachia Mutu: Tunaweza kufanya nini ili kuonyesha shukrani yetu juu ya zabihu ya bei ya ukombozi ya Yesu?
UTAPATA HII ANDIKO KATIKA VYOMBO VYETU VYA KUFUNDISHIA: