Tarehe 1-7/3
HESABU 7-8
Wimbo 4 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mambo Yenye Kambi ya Waisraeli Inatufundisha”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Hes 8:17—Namna gani Yehova aliona wazaliwa wa kwanza wanaume wa Waisraeli? (it-2-F uku. 637)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 7:1-17 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Mualiko wa Ukumbusho: (Dak. 2) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 11)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Umurudilie mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. (th somo ya 6)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Ualike ku Ukumbusho mutu mwenye alikuwa anajifunza Biblia zamani. (th somo ya 12)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Ualike ku Ukumbusho mutu wa jamaa mwenye ulihubiriaka zamani. (th somo ya 17)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 54
Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Muangalie video ya Mwezi wa 3 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 5 fu. 17-22, kisanduku 5A
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 127 na Sala