Tarehe 12-18/4
HESABU 20-21
Wimbo 114 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Endelea Kuwa Mupole Wakati Unakazwa Kufanya Mambo ya Mubaya”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Hes 20:23-27—Namna Haruni alitenda kisha kupata malipizi kwa sababu ya makosa yake na namna Yehova alimuona, inaweza kutufundisha nini? (w14 15/6 uku. 26 fu. 12)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 20:1-13 (th somo ya 2)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 12)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Kisha utolee musikilizaji kichapo kimoja mu Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 3)
Hotuba: (Dak. 5) g 1/15 uku. 9—Kichwa: Namna ya Kuzuia Hasira Yako (th somo ya 16)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 90
Sema ‘Neno la Muzuri ili Kujenga’ Wengine: (Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji hii maulizo: Kunungunika na kusema maneno yenye haifae kunaweza kuwa na matokeo gani juu ya watu wengine? Mu video, ni nini ilisaidia ndugu afanye mabadiliko?
Usikubali Marafiki Wakudanganye!: (Dak. 8) Mazungumuzo. Muangalie video picha zinachorwa ku ubao. Kisha uulize wasikilizaji hii maulizo: Ni mambo gani mbalimbali yenye vijana wengi wanapambana nayo? Kutoka 23:2 inatoa shauri gani? Ni mambo gani ine yenye inaweza kukusaidia ukatae mawazo ya mubaya ya marafiki?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 7 fu. 16-23
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 129 na Sala