UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Namna Imani Inafanyaka Tukuwe na Uhodari
Wapelelezi wenye walileta ripoti ya mubaya walikosa imani (Hes 13:31-33; 14:11)
Hali ya kukosa imani ya wale wapelelezi kumi ilivunja moyo ndugu zao (Hes 14:1-4)
Uhodari wa wale wapelelezi wengine ulionyesha kama walikuwa na imani (Hes 14:6-9; w06-SW 1/10 uku. 16-17 fu. 5-6)
Waisraeli walikuwa walishajionea mambo yenye Yehova aliwafanyiaka zamani ili kuwaokoa. Ile njo ingeweza kufanya wakuwe na imani kabisa kama Yehova angewasaidia ili wapate ushindi juu ya Wakanaani.