Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Namna Imani Inafanyaka Tukuwe na Uhodari

Namna Imani Inafanyaka Tukuwe na Uhodari

Wapelelezi wenye walileta ripoti ya mubaya walikosa imani (Hes 13:31-33; 14:11)

Hali ya kukosa imani ya wale wapelelezi kumi ilivunja moyo ndugu zao (Hes 14:1-4)

Uhodari wa wale wapelelezi wengine ulionyesha kama walikuwa na imani (Hes 14:6-9; w06-SW 1/10 uku. 16-17 fu. 5-6)

Waisraeli walikuwa walishajionea mambo yenye Yehova aliwafanyiaka zamani ili kuwaokoa. Ile njo ingeweza kufanya wakuwe na imani kabisa kama Yehova angewasaidia ili wapate ushindi juu ya Wakanaani.