Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 26/4–2/5

HESABU 25-26

Tarehe 26/4–2/5
  • Wimbo 135 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Mutu Moja Anaweza Kufanya Mambo Ibadilike?”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Hes 26:55, 56—Ni nini ilionyesha hekima ya Yehova wakati wa kugawanya inchi kati ya makabila? (it-1-F uku. 933 fu. 5-6)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 25:1-18 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO