Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Epuka Kujivuna na Kujiaminia Kupita Kiasi

Epuka Kujivuna na Kujiaminia Kupita Kiasi

Kora aliangukia mu mutego wa kujivuna na kujiaminia kupita kiasi, na ile ilifanya apinge uongozi wa Yehova (Hes 16:1-3; w11-SW 15/9 uku. 27 fu. 12)

Kora alikuwa Mulawi mwenye kuheshimiwa na alikuwa na mapendeleo mingi ya pekee (Hes 16:8-10; w11-SW 15/9 uku. 27 fu. 11)

Mawazo ya mubaya ya Kora ilileta matokeo ya mubaya sana (Hes 16:32, 35)

Hatupaswe kujivuna ao kujiaminia kupita kiasi juu ya mambo ya muzuri yenye tuko tunafanya mu kazi ya Yehova. Kadiri tunafanya miaka mingi mu kweli ao kadiri tunaendelea kupata madaraka mazito, ni vile tunapaswa kuwa wanyenyekevu sana.