Tarehe 5-11/4
HESABU 17-19
Wimbo 80 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mimi Ni . . . Uriti Wako”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Hes 18:19—Maneno “agano la chumvi lenye kudumu” iko na maana gani? (g02-SW 6/8 uku. 14 fu. 2)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 18:1-13 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Mazungumuzo. Muangalie video Kumurudilia Mutu: Yesu—Mt 20:28. Simamisha video kila fasi kwenye inasimama, kisha uulize wasikilizaji maulizo yenye inaonekana mu video.
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Kisha utolee musikilizaji kichapo kimoja mu Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 6)
Hotuba: (Dak. 5) w18.01 uku. 18 fu. 4-6—Kichwa: Sababu Gani Tunamutolea Yehova? (th somo ya 20)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 117
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 7 fu. 8-15, kisanduku 7A
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 7 na Sala