Tarehe 21-27/3
1 Samweli 16-17
Wimbo 7 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Vita Ni ya Yehova”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 16:14—Ni mu maana gani Sauli alipata “roho ya mubaya kutoka kwa Yehova”? (it-2-F uku. 905-906)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 16:1-13 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 2) Tumia sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 11)
Mwaliko wa Ukumbusho: (Dak. 3) Alika mufanyakazi mwenzako, mwanafunzi mwenzako, ao mutu wa jamaa yako mwenye ulihubiriaka zamani. (th somo ya 2)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Rudilia mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. (th somo ya 4)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 3) Rudilia mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. Umuonyeshe site yetu ya Enternete. (th somo ya 20)
MAISHA YA MUKRISTO
“Njia Tatu za Kumutegemea Yehova”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Hakuna Sababu ya Kuogopa Upinzani.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 22 fu. 10-22
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 13 na Sala