Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Tuendelee Kubakia Wanyenyekevu Wakati Tunapata Matokeo ya Muzuri

Tuendelee Kubakia Wanyenyekevu Wakati Tunapata Matokeo ya Muzuri

Watu walimusifu Daudi (1Sa 18:5-7; w04-SW 1/4 uku. 15 fu. 4)

Yehova alisaidia Daudi apate matokeo ya muzuri mu mambo yote yenye alifanya (1Sa 18:14)

Daudi aliendelea kubakia munyenyekevu (1Sa 18:22, 23; w18.01 uku. 28 fu. 6-7)

Juu ya nini ni lazima tuendelee kubakia wanyenyekevu wakati Yehova anatubariki? Ni nini njo itatusaidia tubakie wanyenyekevu?