Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 4-10/4

1 Samweli 20-22

Tarehe 4-10/4
  • Wimbo 90 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

  • Namna ya Kuwa Rafiki Muzuri”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • 1Sa 21:12, 13​—Namna Daudi alitenda inaweza kutufundisha nini? (w05-SW 15/3 uku. 24 fu. 4)

    • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 22:1-11 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumurudilia Mutu: (Dak. 2) Rudilia mutu mwenye alipendezwa na kukubali mwaliko wa Ukumbusho. (th somo ya 6)

  • Kumurudilia Mutu: (Dak. 5) Kisha hotuba ya Ukumbusho, zungumuza na mutu mwenye ulialika, na ujibie ulizo yenye anauliza juu ya ile programu. (th somo ya 12)

  • Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 04 nukta ya 3 (th somo ya 20)

MAISHA YA MUKRISTO