UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
Timiza Naziri
Waisraeli walifanya naziri kwa kujipendea, lakini walipaswa kuitimiza (Hes 30:2; it-2-F uku. 1164)
Naziri inaweza kutia ndani kujiepusha na mambo yenye haikatazwe (Hes 30:3, 4; it-2-F uku. 1164)
Yehova anashugulikia kila mwabudu wake kipekee (Hes 30:6-9; w04-SW 1/8 uku. 27 fu. 3)
Naziri mbili kubwa zenye Mukristo anaweza kufanya leo ni naziri ya kujitoa kwa Mungu na naziri ya ndoa.
UJIULIZE HIVI: ‘Niko naishi kulingana na naziri zenye nilishakafanya?’