Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Timiza Naziri

Timiza Naziri

Waisraeli walifanya naziri kwa kujipendea, lakini walipaswa kuitimiza (Hes 30:2; it-2-F uku. 1164)

Naziri inaweza kutia ndani kujiepusha na mambo yenye haikatazwe (Hes 30:3, 4; it-2-F uku. 1164)

Yehova anashugulikia kila mwabudu wake kipekee (Hes 30:6-9; w04-SW 1/8 uku. 27 fu. 3)

Naziri mbili kubwa zenye Mukristo anaweza kufanya leo ni naziri ya kujitoa kwa Mungu na naziri ya ndoa.

UJIULIZE HIVI: ‘Niko naishi kulingana na naziri zenye nilishakafanya?’