Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Mufundishe Watoto Wenu Wamupende Yehova

Mufundishe Watoto Wenu Wamupende Yehova

Wazazi wanapaswa kwanza kumupenda Yehova (Kum 6:5; w05-SW 15/6 uku. 20 fu. 11)

Wanapaswa kuwekea watoto wao mufano muzuri (Kum 6:6; w07-SW 15/5 uku. 15-16)

Wanapaswa kufundisha watoto wao juu ya Yehova kwa ukawaida (Kum 6:7; w05-SW 15/6 uku. 21 fu. 14)

Zaidi ya ibada ya familia, ni mu hali gani zingine munaweza kufundisha watoto wenu ili wamupende Yehova na kanuni zake?