Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

‘Mufukuze Wakaaji Wote wa Inchi’

‘Mufukuze Wakaaji Wote wa Inchi’

Yehova alipatia watu wake amri ya kutosha kila kitu chenye kilikuwa mu Inchi ya Ahadi, chenye kingefanya wasiendelee kuwa waaminifu kwake (Hes 33:52; w10-SW 1/8 uku. 23)

Yehova angebariki bidii yao ili inchi ibakie kabisa mu mikono yao (Hes 33:53)

Waisraeli wangepata magumu kama hawangemaliza kabisa maadui wao (Hes 33:55, 56; w08-SW 15/2 uku. 27 fu. 5-6; it-1-F uku. 392 fu. 4)

Juu tumufurahishe Yehova, tunapaswa kuepuka kabisa matendo ya mubaya yenye inaweza kuharibisha mwenendo na hali yetu ya kiroho. (Yak 1:21) Yehova anatupatiaka nguvu ya kupiganisha mielekeo ya kufanya zambi, na ya kupiganisha uvutano mubaya wenye kuwa mu hii dunia.