Tarehe 21-27/06
KUMBUKUMBU LA TORATI 7-8
Wimbo 136 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Haupaswe Kufanya Mapatano Yoyote ya Ndoa Pamoja nao”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Kum 8:3—Mupango wa Yehova wa kupatia Waisraeli mana, unaweza kutufundisha nini? (w04-SW 1/2 uku. 13 fu. 4)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 7:1-16 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Ualike musikilizaji ku mikutano. (th somo ya 15)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umupatie musikilizaji kichapo fulani kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 9)
Hotuba: (Dak. 5) w06-SW 1/1 uku. 28 fu. 14-15—Kichwa: Usimusahau Yehova. (th somo ya 7)
MAISHA YA MUKRISTO
Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Muangalie video ya Mwezi wa 6 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 9 fu. 33-39, kisanduku 9E
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 145 na Sala