Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

“Haupaswe Kufanya Mapatano Yoyote ya Ndoa Pamoja nao”

“Haupaswe Kufanya Mapatano Yoyote ya Ndoa Pamoja nao”

Yehova aliomba Waisraeli waoane tu na waaminini wenzao (Kum 7:3; wp12 1/7 uku. 29 fu. 2)

Yehova hapendi watumishi wake waumie na kuvunjika moyo (Kum 7:4; w15 15/3 uku. 30-31)

Mawazo ya Yehova kuhusu ndoa haijabadilikaka (1Ko 7:39; 2Ko 6:14; w15 15/8 uku. 24 fu. 12)

UJIULIZE HIVI: ‘Kuolewa “katika Bwana tu” kunaniletea faida gani?’