UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Haupaswe Kufanya Mapatano Yoyote ya Ndoa Pamoja nao”
Yehova aliomba Waisraeli waoane tu na waaminini wenzao (Kum 7:3; wp12 1/7 uku. 29 fu. 2)
Yehova hapendi watumishi wake waumie na kuvunjika moyo (Kum 7:4; w15 15/3 uku. 30-31)
Mawazo ya Yehova kuhusu ndoa haijabadilikaka (1Ko 7:39; 2Ko 6:14; w15 15/8 uku. 24 fu. 12)
UJIULIZE HIVI: ‘Kuolewa “katika Bwana tu” kunaniletea faida gani?’