Tarehe 3-9/05
HESABU 27-29
Wimbo 106 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Umuige Yehova kwa Kuepuka Ubaguzi”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Hes 28:11-31 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: Kusudi la Mungu—Mwa 1:28 (fungua sehemu video, kisha fungua sehemu MIKUTANO NA KAZI YETU YA MAHUBIRI). Simamisha video kila fasi kwenye inasimama, kisha uulize wasikilizaji maulizo yenye inaonekana mu video.
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 4)
Hotuba: (Dak. 5) w07-SW 1/4 uku. 17-18—Kichwa: Nini Inafanyaka Yehova Akubali Matoleo na Zabihu? (th somo ya 16)
MAISHA YA MUKRISTO
Ukuwe Rafiki ya Yehova—Umupende Jirani Yako: (Dak. 6) Mazungumuzo. Muangalie video (fungua sehemu video, kisha fungua sehemu WATOTO). Kisha, kama inawezekana, uliza watoto wenye ulichagua mbele ya wakati hii maulizo: Juu ya nini watoto wengine ku masomo hawakumutendea Priya muzuri? Sofia alifanya nini ili kuonyesha kama anamupenda Priya? Unaweza kufanya nini ili kuonyesha kama unapenda watu wenye kuwa tofauti na weye?
Rafiki wa Kweli Ni Nani?: (Dak. 9) Mazungumuzo. Muangalie video ya picha zenye kuchorwa (fungua sehemu video, kisha fungua sehemu VIJANA). Kisha uliza wasikilizaji hii maulizo: Ni mambo gani unapaswa kuchunguza wakati unachagua rafiki? Unaweza kupata wapi rafiki muzuri? Unaweza kufanya nini juu urafiki ukuwe nguvu?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 8 fu. 8-15, kisanduku 8A
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 16 na Sala