Tarehe 31/05–6/06
KUMBUKUMBU LA TORATI 1-2
Wimbo 125 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Hukumu Ni ya Mungu”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Kum 1:19; 2:7—Namna gani Yehova alihangaikia watu wake mu safari yao ya nguvu ya miaka 40 mu ‘jangwa kubwa na lenye kuogopesha’? (w13 15/9 uku. 9 fu. 9)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 1:1-18 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 16)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Ona sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umupatie musikilizaji mualiko kwa ajili ya mikutano, na ufanye utangulizi wa video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme? (lakini usiionyeshe) (th somo ya 11)
Hotuba: (Dak. 5) w13 15/8 uku. 11 fu. 7—Kichwa: Epuka Kusema ao Kusikiliza Maneno Yenye Haifae. (th somo ya 13)
MAISHA YA MUKRISTO
“Ukuwe Tayari mu hii Sehemu ya Mwisho ya ‘Siku za Mwisho’”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Iongozwe na muzee. Muangalie video Uko Tayari kwa Ajili ya Musiba wa Asili? (fungua sehemu video, kisha fungua sehemu BIBLIA). Kama muko na mambo fulani ya kukumbuka kutoka ku biro ya tawi ao kutoka kwa wazee, muizungumuzie pia.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 9 fu. 10-17
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 64 na Sala