Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 31/05–6/06

KUMBUKUMBU LA TORATI 1-2

Tarehe 31/05–6/06
  • Wimbo 125 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Hukumu Ni ya Mungu”: (Dak. 10)

  • Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Kum 1:19; 2:7​—Namna gani Yehova alihangaikia watu wake mu safari yao ya nguvu ya miaka 40 mu ‘jangwa kubwa na lenye kuogopesha’? (w13 15/9 uku. 9 fu. 9)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Kum 1:1-18 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO