UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Hukumu Ni ya Mungu”
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Kumbukumbu la Torati.]
Wazee wanapaswa “kuhukumu kwa haki” (Kum 1:16; w96-SW 15/3 uku. 23 fu. 1)
Wazee hawapaswe “kuhukumu kwa upendeleo” (Kum 1:17; w02-SW 1/8 uku. 9 fu. 4)
Tunaweza kufanya nini ili kuonyesha kama tunashukuru kuwa na wazee mu makutaniko?—Ebr 13:17; Yak 5:13-15