Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

“Hukumu Ni ya Mungu”

“Hukumu Ni ya Mungu”

[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Kumbukumbu la Torati.]

Wazee wanapaswa “kuhukumu kwa haki” (Kum 1:16; w96-SW 15/3 uku. 23 fu. 1)

Wazee hawapaswe “kuhukumu kwa upendeleo” (Kum 1:17; w02-SW 1/8 uku. 9 fu. 4)

Tunaweza kufanya nini ili kuonyesha kama tunashukuru kuwa na wazee mu makutaniko?​—Ebr 13:17; Yak 5:13-15