Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

Sheria za Yehova Ni Zenye Hekima na Haki

Sheria za Yehova Ni Zenye Hekima na Haki

Tunaonyesha kama tuko na hekima na uelewaji wakati tunatii sheria za Mungu (Kum 4:6; it-1-F uku. 1199 fu. 2)

Matendo yetu inasaidia watu mingi waone kama sheria za Mungu ni zenye hekima (Kum 4:6; w99-SW 1/11 uku. 20 fu. 6-7)

Watu wa Yehova wako na maisha yenye furaha sana kuliko watu wengine (Kum 4:7, 8; w07-SW 1/8 uku. 29 fu. 13)

Watu mingi wanakuja mu tengenezo la Yehova wakati wanaona mwenendo muzuri wa wale wenye wanafuata sheria na kanuni za Mungu.

Ni baraka gani zenye umepata juu ya kufuata muongozo wenye hekima wa Yehova?