Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Biblia inapatana na sayansi?
Andiko: Yob 26:7
Ulizo la Kuacha: Mashauri ya Biblia inaweza kutusaidia leo?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Mashauri ya Biblia inaweza kutusaidia leo?
Andiko: Mez 14:30
Ulizo la Kuacha: Kuko mambo yenye Biblia ilitabiri na ikatimia?