Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 18-​24/02

WAROMA 7-8

Tarehe 18-​24/02
  • Wimbo 27 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Uko ‘Unangojea na Kutazamia kwa Hamu’?”: (Dak. 10)

    • Ro 8:19​—Wakati wa kufunuliwa kwa “wana wa Mungu” iko karibu (w12 15/7 uku. 11 fu. 17)

    • Ro 8:20​—“Uumbaji ulitiishwa chini ya maisha yenye hayana maana . . . kwa musingi wa tumaini” (w12 15/3 uku. 23 fu. 11)

    • Ro 8:21​—Uumbaji “utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu” (w12 15/3 uku. 23 fu. 12)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 8:6​—Kuko tofauti gani kati ya “kukaza akili juu ya mwili” na “kukaza akili juu ya roho”? (w17.06 uku. 3)

    • Ro 8:26, 27​—Namna gani Yehova anajibia “vilio vya maumivu vyenye havitamukwe”? (w09 15/11 uku. 7 fu. 20)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 7:13-25 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO