Uko “Unangojea na Kutazamia kwa Hamu?
-
“Uumbaji” ni wanadamu wenye wako na tumaini ya kuishi ku dunia
-
“Kufunuliwa kwa wana wa Mungu” ni wakati watiwa-mafuta watatumika na Kristo ili kuharibu mupangilio muovu wa mambo wa Shetani
-
“Musingi wa tumaini” ni ahadi ya Yehova ya kuokoa wanadamu kupitia kifo na ufufuo wa Yesu
-
“[Uumbaji] utawekwa huru kutoka katika utumwa wa uharibifu” maana yake utakombolewa hatua kwa hatua kutokana na matokeo ya zambi na kifo