Tarehe 25/02–3/03
WAROMA 9-11
Wimbo 25 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mufano wa Muzeituni”: (Dak. 10)
Ro 11:16—Muzeituni wenye ulipandwa unafananisha kutimizwa kwa mambo yenye Mungu alipenda kufanya kupitia agano lake na Abrahamu (w11 15/5 uku. 23 fu. 13)
Ro 11:17, 20, 21—Watiwa-mafuta wenye walipandikizwa ku muzeituni wa mufano wanapaswa kuendelea kuonyesha imani (w11 15/5 uku. 24 fu. 15)
Ro 11:25, 26—Hesabu kamili ya Waisraeli wa kiroho “wataokolewa” (w11 15/5 uku. 25 fu. 19)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ro 9:21-23—Juu ya nini tunapaswa kukubali Mufinyanzi wetu Mukubwa Yehova atufinyange? (w13 15/6 uku. 25 fu. 5)
Ro 10:2—Juu ya nini tunapaswa kuhakikisha kama tuko tunamuabudu Yehova kulingana na ujuzi wenye hauna makosa? (it-1-F uku. 1234 fu. 6)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 10:1-15 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 6)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia Kumurudilia Mutu Mara ya Pili ku ukurasa wa 1, kisha uanze funzo la Biblia kwa kutumia kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo ya 9)
MAISHA YA MUKRISTO
“Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuacha Kuongoza Mafunzo Yenye Haifanye Maendeleo”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 56
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 36 na Sala