Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 25/02–​3/03

WAROMA 9-11

Tarehe 25/02–​3/03
  • Wimbo 25 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Mufano wa Muzeituni”: (Dak. 10)

    • Ro 11:16​—Muzeituni wenye ulipandwa unafananisha kutimizwa kwa mambo yenye Mungu alipenda kufanya kupitia agano lake na Abrahamu (w11 15/5 uku. 23 fu. 13)

    • Ro 11:17, 20, 21​—Watiwa-mafuta wenye walipandikizwa ku muzeituni wa mufano wanapaswa kuendelea kuonyesha imani (w11 15/5 uku. 24 fu. 15)

    • Ro 11:25, 26​—Hesabu kamili ya Waisraeli wa kiroho “wataokolewa” (w11 15/5 uku. 25 fu. 19)

  • Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ro 9:21-23​—Juu ya nini tunapaswa kukubali Mufinyanzi wetu Mukubwa Yehova atufinyange? (w13 15/6 uku. 25 fu. 5)

    • Ro 10:2​—Juu ya nini tunapaswa kuhakikisha kama tuko tunamuabudu Yehova kulingana na ujuzi wenye hauna makosa? (it-1-F uku. 1234 fu. 6)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 10:1-15 (th somo ya 10)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO