Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 9-11

Mufano wa muzeituni

Mufano wa muzeituni

11:16-26

Sehemu mbalimbali za muzeituni wa mufano zinafananisha nini?

  • Muti unafananisha kutimizwa kwa mambo yenye Mungu alipenda kufanya kupitia agano lake na Abrahamu

  • Shina ni Yesu, yeye njo sehemu ya kwanza ya uzao wa Abrahamu

  • Matawi ni wale wote wenye kufanyiza sehemu ya pili ya uzao wa Abrahamu

  • Matawi yenye “yalikatwa” ni Wayahudi wa asili ao wa kizalikio wenye walikatala Yesu

  • Matawi yenye ‘yalipandikizwa’ ni Wakristo wenye walitiwa mafuta na roho wenye walitoka mu mataifa ingine

Vile Biblia ilitabiri, uzao wa Abrahamu, ni kusema Yesu na wale 144 000, wataletea “watu wa mataifa” baraka.​—Ro 11:12; Mwa 22:18

Namna Yehova alitimiza kusudi lake kuhusu uzao wa Abrahamu inanifundisha nini?