Tarehe 4-10/02
WAROMA 1-3
Wimbo 88 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Endelea Kuzoeza Zamiri Yako”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Waroma.]
Ro 2:14, 15—Kila mutu iko na zamiri (lv uku. 16 fu. 6)
Ro 2:15—Juu zamiri yetu ituongoze muzuri, tunapaswa kuizoeza (lv uku. 17-18 fu. 8-9)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ro 3:4—Tunapaswa kufanya nini juu “Mungu aonekane kuwa wa kweli”? (w08 15/6 uku. 30 fu. 5)
Ro 3:24, 25—Namna gani “bei ya ukombozi yenye Kristo Yesu alilipa” ingeweza kufunika “zambi zenye zilifanywa wakati wenye ulipita”? (w08 15/6 uku. 29 fu. 6)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 1:1-17 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Namna ya Kuzungumuza, na kisha muzungumuzie somo ya 2 ya broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 5) w06 6/1 12-13—Habari: Tujue Kama Sisi Wote Tunapungukiwa. (th somo ya 7)
MAISHA YA MUKRISTO
“Unaona Sifa za Mungu Zenye Hazionekane?”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Uumbaji Unaonyesha Utukufu wa Mungu—Mwangaza na Rangi.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 53
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 142 na Sala