Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAROMA 1-3

Endelea Kuzoeza Zamiri Yako

Endelea Kuzoeza Zamiri Yako

2:14, 15

Juu zamiri yetu ituongoze muzuri, tunapaswa:

  1. kuizoeza kupatana na kanuni za Biblia

  2. kuisikiliza wakati inatukumbusha zile kanuni

  3. kuomba Yehova atupatie roho takatifu juu itusaidie tusifanye mambo ya mubaya.​—Ro 9:1