Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 1-7/1

YOBU 32-33

Tarehe 1-7/1

Wimbo 102 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Elihu iko nasikiliza kwa huruma wakati Yobu iko najieleza

1. Ufariji Wale Wenye Wako na Mahangaiko

(Dak. 10)

Utendee wengine sawa marafiki (Yob 33:1; it-1-F uku. 724)

Ujitie pa nafasi ya wengine, usiwahukumu (Yob 33:6, 7; w14 15/6 uku. 25 fu. 8-10)

Mbele ya kusema, usikilize na ufikiri sawa vile Elihu alifanya (Yob 33:8-12, 17; w20.03 uku. 23 fu. 17-18; ona picha ku jalada)

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Yob 33:25—Namna gani hii andiko inatusaidia tusihangaikie sana namna tunaonekana wakati tunazeeka? (w13 15/1 uku. 19 fu. 10)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kupendezwa na Watu—Mambo Yenye Yesu Alifanya

(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO, na kisha muzungumuzie broshua lmd, somo ya 1 nukta ya 1-2.

5. Kupendezwa na Watu—Umuige Yesu

(Dak. 8) Mazungumuzo yenye inategemea broshua lmd, somo ya 1 nukta ya 3-5 na sehemu “Ona Pia.”

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 116

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 54 na Sala