Tarehe 1-7/1
YOBU 32-33
Wimbo 102 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Ufariji Wale Wenye Wako na Mahangaiko
(Dak. 10)
Utendee wengine sawa marafiki (Yob 33:1; it-1-F uku. 724)
Ujitie pa nafasi ya wengine, usiwahukumu (Yob 33:6, 7; w14 15/6 uku. 25 fu. 8-10)
Mbele ya kusema, usikilize na ufikiri sawa vile Elihu alifanya (Yob 33:8-12, 17; w20.03 uku. 23 fu. 17-18; ona picha ku jalada)
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Yob 33:25—Namna gani hii andiko inatusaidia tusihangaikie sana namna tunaonekana wakati tunazeeka? (w13 15/1 uku. 19 fu. 10)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Yob 32:1-22 (th somo ya 12)
4. Kupendezwa na Watu—Mambo Yenye Yesu Alifanya
(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO, na kisha muzungumuzie broshua lmd, somo ya 1 nukta ya 1-2.
5. Kupendezwa na Watu—Umuige Yesu
(Dak. 8) Mazungumuzo yenye inategemea broshua lmd, somo ya 1 nukta ya 3-5 na sehemu “Ona Pia.”
Wimbo 116
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 4 kisanduku ku uku. 30