Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 22-28/1

YOBU 38-39

Tarehe 22-28/1

Wimbo 11 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Unapangaka Wakati ya Kuangalia Uumbaji?

(Dak. 10)

Kisha kuumba dunia, Yehova alikamata wakati ya kuangalia kazi yenye alifanya (Mwa 1:10, 12; Yob 38:5, 6; w21.08 uku. 9 fu. 7)

Malaika wanakamataka wakati ya kuangalia vitu vyenye Yehova aliumba (Yob 38:7; w20.08 uku. 14 fu. 2)

Kuangalia na kufurahia vitu vyenye Yehova aliumba kunaweza kutusaidia tumutumainie zaidi (Yob 38:32-35; w23.03 uku. 17 fu. 8)

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Yob 38:8-10—Hii andiko inatufundisha nini kuhusu Yehova, Mupaji-sheria wetu? (it-2-F uku. 122)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Malizia mazungumuzo kwa kusema jambo fulani ya muzuri wakati unatambua kama musikilizaji hapendi kuzungumuza. (lmd somo ya 2 nukta ya 3)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 5) NYUMBA KWA NYUMBA. Mu mazungumuzo yenye imepita, musikilizaji alikuambia kama alitokea kupoteza mupendwa wake. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) lmd nyongeza ya A nukta ya 1—Kichwa: Mambo yenye iko nafanyika leo na matendo ya batu inaonyesha kama mwisho uko karibu. (th somo ya 16)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 111

7. Kuangalia Uumbaji Kunatusaidia Tusikaze Akili juu Yetu Wenyewe

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Wakati Shetani na marafiki wake watatu walimushambulia, Yobu alihangaishwa sana na magumu yake na pia maneno yenye kuumiza yenye walikuwa namuambia.

Musome Yobu 37:14. Kisha uulize:

Yobu alipaswa kufanya nini ili asikazie sana akili juu ya magumu yake?

Wakati tunalemewa na magumu, kuangalia uumbaji kunaweza kutusaidia tukumbuke ukubwa wa Yehova, tupende sana kubakia washikamanifu kwake, na tutumainie zaidi kama iko na uwezo wa kutusaidia.—Mt 6:26.

Muangalie VIDEO Mambo Yenye Kitabu cha Ayubu Kinatufundisha Juu ya Ushikamanifu—Mambo Yenye Tunajifunza juu ya Namna Wanyama Waliumbwa. Kisha uulize:

Namna gani hii video imekusaidia umutumainie Yehova zaidi?

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 54 na Sala