Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 26/2–3/3

ZABURI 11-15

Tarehe 26/2–3/3

Wimbo 139 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Ujiwazie mu Dunia Mupya ya Mungu Yenye Amani

(Dak. 10)

Juu watu hawana utaratibu na hawaheshimie sheria, ile inafanya kukuwe jeuri sana (Zb 11:2, 3; w06-SW 15/5 uku. 18 fu. 3)

Tunatumaini kama hivi karibuni Yehova atamaliza jeuri (Zb 11:5; wp16.4 uku. 11)

Kufikiri sana juu ya ahadi ya Yehova ya wokovu kunatusaidia tungojee dunia mupya kwa uvumilivu (Zb 13:5, 6; w17.08 uku. 7 fu. 15)

PIMA KUFANYA HIVI: Soma Ezekieli 34:25, na ujiwazie uko mu hali ya amani yenye kuzungumuziwa mu hii andiko.—kr 236 fu. 16.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 14:1—Namna gani hali yenye kuzungumuziwa mu hii andiko inaweza kufikia hata Wakristo? (w13 15/9 uku. 20 fu. 12)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 2) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Ualike musikilizaji ku Ukumbusho. (lmd somo ya 5 nukta ya 3)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 1) NYUMBA KWA NYUMBA. Ualike musikilizaji ku Ukumbusho. (lmd somo ya 3 nukta ya 4)

6. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mutu anapendezwa na mualiko wa Ukumbusho. (lmd somo ya 7 nukta ya 4)

7. Kufanya Wanafunzi

(Dak. 5) lff somo ya 13 kwa kifupi, maulizo ya kujikumbusha, na pima kufanya hivi. Tumia habari fulani mu sehemu “Habari Zingine” juu ya kusaidia mwanafunzi aelewe namna Mungu anajisikiaka juu ya dini za uongo. (th somo ya 12)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 8

8. “Hekima Inashindia Silaha za Vita”

(Dak. 10) Mazungumuzo.

Matendo ya jeuri inaendelea kuongezeka mu dunia. Yehova anajua kama jeuri yenye kuwa mu dunia leo inaweza kutuhangaisha sana. Anajua pia kama tuko na lazima ya ulinzi. Njia moya yenye anatumia juu ya kutulinda ni Neno yake, Biblia. —Zb 12:5-7.

Biblia iko na hekima yenye “inashindia silaha za vita.” (Muh 9:18) Fikiria namna maandiko yenye kufuata inaweza kutusaidia tujilinde ili tusitendewe kwa jeuri.

  • Muh 4:9, 10—Epuka kuwa peke yako mu hali na fasi zenye zinaweza kuwa hatari

  • Mez 22:3—Ukuwe muangalifu wakati uko fasi ya watu wengi

  • Mez 26:17—Usijiingize mu mambo yenye haikuangalie

  • Mez 17:14—Kama kunataka kutokea jambo fulani ya jeuri fasi kwenye uko, utoke. Na uepuke kukuwa mu kikundi ya watu wenye kuleta muvurugo

  • Lu 12:15—Usitie uzima wako mu hatari juu ya kulinda vitu vyako

Muangalie VIDEO Iga Wenye Walikuwa na Imani, Hapana Wenye Hawakukuwa Nayo—Enoko, Hapana Lameki. Kisha uulize:

Namna gani mufano wa Enoko ulisaidia ule baba akamate uamuzi muzuri juu ya namna ya kujilinda wakati jeuri inatokea?—Ebr 11:5

Mu hali fulani, Mukristo anaweza kuona kama ni lazima akamate hatua fulani juu ya kujilinda ao kulinda vitu vyake. Kama ni vile, anapaswa kufanya jambo yoyote yenye anaweza, lakini bila kuua mutu juu asikuwe na hatia ya damu.—Zb 51:14; ona“Maulizo ya Wasomaji Wetu” mu Munara wa Mulinzi ya Mwezi wa 7, 2017.

9. Kampanye ya Ukumbusho Itaanza Siku ya Posho, Tarehe 2, Mwezi wa 3

(Dak. 5) Hotuba. Itolewe na muzee. Zungumuzia mipango yenye kutaniko imekamata kwa ajili ya kampanye, hotuba ya pekee, na Ukumbusho. Ukumbushe wahubiri kama wanaweza kuchagua kuwa mapainia wasaidizi wa saa 15 mu Mwezi wa 3 na wa 4.

10. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 40 na Sala