Tarehe 5-11/2
ZABURI 1-4
Wimbo 150 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
1. Chagua Ufalme wa Mungu
(Dak. 10)
[Muangalie VIDEO Utangulizi wa Kitabu cha Zaburi.]
Watawala wanadamu wamejifanya kuwa maadui wa Ufalme wa Mungu (Zb 2:2; w21.09 uku. 15 fu. 8)
Yehova amepatia watu wakati kidogo ya kuchagua kuunga mukono Ufalme wake (Zb 2:10-12)
UJIULIZE, ‘Nimeazimia kutounga mukono mambo ya politike hata kama kufanya vile kunaweza kuniletea magumu?’—w16.04 uku. 24 fu. 11.
2. Mali ya Kiroho
(Dak. 10)
Zb 1:4—Ni mu njia gani waovu wako kama “maganda ya mbegu yenye kupeperushwa mbali na upepo”? (it-1-F uku. 261)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?
3. Usomaji wa Biblia
(Dak. 4) Zb 3:1–4:8 (th somo ya 12)
4. Kuzungumuza kwa Njia ya Kawaida —Mambo Yenye Filipo Alifanya
(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO, kisha muzungumuzie lmd somo ya 2 nukta ya 1-2.
5. Kuzungumuza kwa Njia ya Kawaida —Umuige Filipo
(Dak. 8) Mazungumuzo yenye kutegemea lmd somo ya 2 nukta ya 3-5 na sehemu “Ona Pia.”
Wimbo 32
6. Mahitaji ya Kutaniko
(Dak. 15)
7. Funzo ya Biblia ya Kutaniko
(Dak. 30) bt sura ya 5 fu. 9-15, kisanduku ku uku. 41