Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 5-11/2

ZABURI 1-4

Tarehe 5-11/2

Wimbo 150 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Chagua Ufalme wa Mungu

(Dak. 10)

[Muangalie VIDEO Utangulizi wa Kitabu cha Zaburi.]

Watawala wanadamu wamejifanya kuwa maadui wa Ufalme wa Mungu (Zb 2:2; w21.09 uku. 15 fu. 8)

Yehova amepatia watu wakati kidogo ya kuchagua kuunga mukono Ufalme wake (Zb 2:10-12)

UJIULIZE, ‘Nimeazimia kutounga mukono mambo ya politike hata kama kufanya vile kunaweza kuniletea magumu?’—w16.04 uku. 24 fu. 11.

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 1:4—Ni mu njia gani waovu wako kama “maganda ya mbegu yenye kupeperushwa mbali na upepo”? (it-1-F uku. 261)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuzungumuza kwa Njia ya Kawaida —Mambo Yenye Filipo Alifanya

(Dak. 7) Mazungumuzo. Muangalie VIDEO, kisha muzungumuzie lmd somo ya 2 nukta ya 1-2.

5. Kuzungumuza kwa Njia ya Kawaida —Umuige Filipo

(Dak. 8) Mazungumuzo yenye kutegemea lmd somo ya 2 nukta ya 3-5 na sehemu “Ona Pia.”

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 32

6. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 15)

7. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 61 na Sala