Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 10-16/2

ZABURI 147-150

Tarehe 10-16/2

Wimbo 12 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Tuko na Sababu za Mingi za Kumusifu Yah

(Dak. 10)

Anahangaikiaka kila mumoya wetu (Zb 147:3, 4; w17.07 uku. 18 fu. 5-6)

Anaelewaka mipaka yetu na anatumiaka nguvu yake juu ya kutusaidia (Zb 147:5; w17.07 uku. 18 fu. 7)

Anatupatia pendeleo ya kukuwa kati ya batumishi yake (Zb 147:19, 20; w17.07 uku. 21 fu. 18)


UJIULIZE, ‘Ni jambo gani ingine inanichocheaka nimusifu Yehova?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 148:1, 10​—Ndege zenye kuhama zinaweza kutufundisha nini juu ya Yehova? (w23.03 uku. 17 fu. 6)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye-nyumba anakuambia kama iko na magonjwa ya nguvu. (lmd somo ya 2 nukta ya 5)

5. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Tafuta nafasi ya kuambia mwenye uko nazungumuza naye jambo fulani yenye ulijifunza ku mikutano yenye imepita. (lmd somo ya 4 nukta ya 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) w19.03 uku. 10 fu. 7-11​—Kichwa: Umusikilize Yesu—​Hubiri Habari Njema. Ona picha. (th somo ya 14)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 159

7. Ripoti ya Mwaka wa Utumishi

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Kisha kusoma matangazo ya biro ya tawi, omba basikilizaji baseme mambo ingine ya muzuri yenye kuwa mu Ripoti ya Mwaka wa Utumishi ya Mashahidi wa Yehova Katika Dunia Yote ya 2024. Uliza bahubiri benye ulichagua mbele ya wakati. Ubaombe baeleze mambo fulani yenye kutia moyo yenye balijionea mu utumishi mu mwaka wenye umepita.

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 37 na Sala