Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 22-28/10

YOHANA 15-17

Tarehe 22-28/10
  • Wimbo 129 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Ninyi Hamuko Sehemu ya Ulimwengu”: (Dak. 10)

    • Yoh 15:19​—Wanafunzi wa Yesu hawako “sehemu ya ulimwengu” (nwtsty kwa ajili ya funzo)

    • Yoh 15:21​—Watu wanachukia wanafunzi wa Yesu kwa sababu ya jina lake (nwtsty kwa ajili ya funzo)

    • Yoh 16:33​—Kama Yesu, wanafunzi wake wanaweza kupata ushindi juu ya ulimwengu (it-1 uku. 555)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 17:21-23​—Ni katika maana gani wanafunzi wa Yesu walipaswa kuwa “kitu kimoja”? (nwtsty kwa ajili ya funzo)

    • Yoh 17:24​—“Musingi wa ulimwengu” ni nini? (nwtsty kwa ajili ya funzo)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yoh 17:1-14

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko yenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 14 fu. 3-4

MAISHA YA MUKRISTO