Tarehe 22-28/10
YOHANA 15-17
Wimbo 129 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ninyi Hamuko Sehemu ya Ulimwengu”: (Dak. 10)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 17:21-23—Ni katika maana gani wanafunzi wa Yesu walipaswa kuwa “kitu kimoja”? (nwtsty kwa ajili ya funzo)
Yoh 17:24—“Musingi wa ulimwengu” ni nini? (nwtsty kwa ajili ya funzo)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yoh 17:1-14
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1.
Kumurudilia Mutu Mara ya Tatu: (Isipite dak. 3) Chagua andiko yenye utatumia, kisha umutolee mutu kichapo cha funzo.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 14 fu. 3-4
MAISHA YA MUKRISTO
“Upendo Unatambulisha Wakristo wa Kweli—Tulinde Umoja Wetu”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video “Mukuwe na Upendo Kati Yenu”—Usihesabie Makosa. Kama wakati unaruhusu, muzungumuzie pia sehemu “Mufano wa Biblia wa Kufikiria.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 40
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma yenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 106 na Sala