Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YOHANA 18-19

Yesu Alitoa Ushahidi juu ya ile Kweli

Yesu Alitoa Ushahidi juu ya ile Kweli

18:36-38a

Yesu alitoa ushahidi juu ya ile kweli kuhusu mipango ya Mungu

  • MU MANENO: Alihubiri kwa bidii ile kweli kuhusu ufalme wa Mungu

  • MU MATENDO: Maisha yake ilitimiza unabii mbalimbali wa Neno la Mungu

Sisi wanafunzi wa Yesu tunatoa pia ushahidi juu ya ile kweli

  • MU MANENO: Hata kama watu wanatuchekelea, tunahubiri kwa bidii habari njema ya Ufalme wa Mungu wenye unatawala, na juu ya Kristo, Mufalme wa ule Ufalme

  • MU MATENDO: Kupitia musimamo wetu wa kukataa kuunga mukono upande wowote katika ulimwengu huu, tunaonyesha kama tunaunga mukono utawala wa Yesu