Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 14-​20, Mwezi wa 11

MHUBIRI 1-6

Tarehe 14-​20, Mwezi wa 11
  • Wimbo 66 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Furahia Kazi Yako Ngumu”: (Dak. 10)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mhu 2:10, 11​—Sulemani alivumbua nini juu ya kuwa na mali? (w08 15/4 uku. 22 fu. 9-10)

    • Mhu 3:16, 17​—Tunapaswa kuona namna gani ukosefu wa haki wenye kujaa katika ulimwengu huu? (w06 1/11 uku. 14 fu. 9)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mhu 1:1-18

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) wp16.6 habari kubwa​—Umuachie karte ya JW.ORG.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) wp16.6 habari kubwa​—Umusomee andiko kupitia telefone ao tablete.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bhs uku. 22-23 fu. 11-12​—Umualike mwanafunzi kwenye mikutano.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 140

  • Namna ya Kutumia Kitabu “Biblia Inatufundisha Nini?”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Kisha, muangalie na kuzungumuzia video yenye kuonyesha sehemu ya funzo la Biblia, lenye kutegemea Kweli ya 4 yenye kuwa kwenye ukurasa wa 115 wa kitabu Kutufundisha.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 4 fu. 1-6 na kisanduku “Maana ya Jina la Mungu

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 112 na Sala