Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MHUBIRI 1-6

Furahia Kazi Yako Ngumu

Furahia Kazi Yako Ngumu

Yehova anapenda tufurahie kazi yetu na anatufundisha namna ya kufanya. Mutu anaweza kujifunza kufurahia kazi yake kama iko na mawazo ya muzuri juu ya kazi hiyo.

Unaweza kufurahia kazi yako kama . . .

3:13; 4:6

  • unakuwa na mawazo ya muzuri juu ya kazi

  • unafikiria namna kazi yako inasaidia wengine

  • unatumika kwa bidii, lakini wakati unaondoka kwenye kazi yako, unakaza akili juu ya familia yako na ibada yako kwa Yehova