Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Vijana​—Musikawie Kuingia Kupitia ‘Mulango Mukubwa.’

Vijana​—Musikawie Kuingia Kupitia ‘Mulango Mukubwa.’

Tunaweza kufikiri kama tutaendelea kuwa vijana na kama ‘siku zenye musiba’ zenye zinatokea wakati wa uzee katika ulimwengu huu wa Shetani hazitatupata. (Mhu 12:1) Kama uko kijana, hauone kama huu ndio wakati wa kujiwekea miradi ya kiroho, kama vile kufanya utumishi wa wakati wote?

‘Tukio lisilotazamiwa linatupata’ sisi wote, na hata vijana. (Mhu 9:11) ‘Hamujui uzima wenu utakuwa namna gani kesho.’ (Yak 4:14) Kwa hiyo, musikawie kujiwekea miradi ya kiroho. Muingie kupitia ‘mulango mukubwa unaoongoza kwenye utendaji’ wakati ungali wenye kufunguliwa kwenu. (1Kor 16:9) Mutapata furaha nyingi sana.

Miradi fulani ya kiroho yenye munaweza kujiwekea:

  • Kuhubiri katika luga ingine

  • Kuwa painia

  • Kusoma masomo mbalimbali ya kiteokrasi

  • Kujitolea katika kazi ya ujenzi

  • Kutumikia kwenye beteli

  • Kuwa mwangalizi wa muzunguko

Andika hapa miradi yako ya Kiroho: