Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 7-​13, Mwezi wa 11

METHALI 27-31

Tarehe 7-​13, Mwezi wa 11
  • Wimbo 86 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Biblia Inaonyesha Bibi Mwenye Uwezo”: (Dak. 10)

    • Met 31:10-12​—Anategemeka (w15 15/1 uku. 20 fu. 10; w00 1/2 uku. 31 fu. 2; it-1-F uku. 873)

    • Met 31:13-27​—Anatumika kwa bidii (w00 1/2 uku. 31 fu. 3-4)

    • Met 31:28-31​—Anapenda mambo ya kiroho na anastahili kusifiwa (w15 15/1 uku. 20 fu. 8; w00 1/2 uku. 31 fu. 5, 8)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Met 27:12​—Namna gani tunaweza kuwa waangalifu wakati tunachagua mambo ya kujifurahisha? (w15 1/7 uku. 8 fu. 3)

    • Met 27:21​—Namna gani mutu anajaribiwa kulingana na sifa yenye anapewa? (w11 1/8 uku. 29 fu. 2; w06 15/9 uku. 19 fu. 12)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Met 29:11–30:4

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: ( Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Uwatie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 89

  • Mume [Bwana] Wake Ni Mutu Anayejulikana Malangoni’: (Dak. 5) Itolewe na muzee.

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10) Kama munapenda munaweza kuzungumuzia habari yenye kupatikana katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 uku. 40-41)

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 3 fu. 13-22, muchoro “Yehova Anafunua Kusudi Lake Hatua kwa Hatua,” na kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 108 na Sala