Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo

MUNARA WA MULINZI

Ulizo: Kama mutu anakuuliza mbingu ziko namna gani, utamujibu nini?

Andiko: Yoh 6:38

Namna ya Kutoa: Munara wa Mulinzi huu unazungumuzia mambo yenye Yesu na Baba yake walieleza kuhusu mbingu.

FUNDISHA KWELI

Ulizo: Hauone kama unabii huu wa Biblia unataja mambo yenye tunaona leo?

Andiko: 2Tim 3:1-5

Kweli: Kwa sababu unabii wa Biblia juu ya siku za mwisho unatimia leo, tunaweza kuwa hakika kama unabii juu ya wakati muzuri unaokuja utatimia pia.

SABABU GANI UJIFUNZE BIBLIA? (Video)

Utangulizi: Tuko naonyesha watu video fupi yenye kueleza ni wapi tunaweza kupata majibu mazuri ya maulizo ya maana sana juu ya maisha. [Onyesha video.]

Namna ya Kutoa: Kitabu hiki kinaonyesha mambo yenye Biblia inafundisha juu ya namna Mungu atamaliza magumu ya ulimwengu huu. [Umutolee mutu kitabu Biblia Inafundisha.]

ANDIKA NAMNA UNAWEZA PIA KUANZISHA MAZUNGUMUZO

Ulizo:

Andiko:

Namna ya Kutoa: