Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Mungu alituumba juu ya nini?
Andiko: Mwa 1:27, 28
Ulizo la Kuacha: Juu ya nini tuko hakika kama Mungu atatimiza kusudi lake?
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Juu ya nini tuko hakika kama Mungu atatimiza kusudi lake?
Andiko: Yos 21:45
Ulizo la Kuacha: Mungu anasema atafanya nini wakati wenye kuja?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Mungu anasema atafanya nini wakati wenye kuja?
Andiko: Ufu 21:4
Ulizo la Kuacha: Tufanye nini juu tupate baraka zenye Mungu amesema ataleta wakati wenye kuja?