Tarehe 25/11–1/12
UFUNUO 4-6
Wimbo 22 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Wale Wenye Kupanda Farasi Ine”: (Dak. 10)
Ufu 6:2—Mwenye kupanda farasi mweupe “akaenda akishinda” (wp17.3 uku. 4 fu. 3, 5)
Ufu 6:4-6—Mwenye kufuata anapanda farasi wa rangi mwekundu na mwingine anapanda farasi wa rangi mweusi (wp17.3 uku. 5 fu. 2, 4-5)
Ufu 6:8—Kisha mwenye kupanda farasi wa rangi ya majivu anakuja, na kaburi liko linamufuata (wp17.3 uku. 5 fu. 8-10)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ufu 4:4, 6—Wazee 24 na viumbe 4 vyenye uzima, wanafananisha nini? (re uku. 77 fu. 8; uku. 80 fu. 19)
Ufu 5:5—Juu ya nini Yesu anaitwa “Simba wa kabila la Yuda”? (cf uku. 36 fu. 5-6)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ufu 4:1-11 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 4)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) lvs uku. 53 fu. 15 (th somo ya 2)
MAISHA YA MUKRISTO
“Yehova Anapenda Mutu Mwenye Anatoa kwa Furaha”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Iongozwe na muzee. Muanze kwa kuonyesha video Namna ya Kutoa Michango Kupitia jw.org. Uwajulishe wahubiri kama wanaweza kupata habari juu ya namna ya kutoa michango kwa kufungua sehemu Michango kwenye jw.org na kwenye JW Library ao kwa kuandika donate.pr418.com kwenye nafasi ya kuandikia adresi ya Enternete. Somea kutaniko barua ya tawi yenye kuonyesha shukrani kwa ajili ya michango yenye mulitoa mu mwaka wa utumishi wenye umepita. Upongeze ndugu na dada kwa sababu ya ukarimu wao.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 92
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 43 na Sala