Wale Wenye Kupanda Farasi Ine
Yesu ‘alienda akishinda’ kwa kupigana na Shetani na pepo wake wachafu kule mbinguni kisha akawatupa ku dunia. Yesu anaendelea kuwashindia watumishi wake kwa kuwasaidia na kuwalinda mu siku hizi za mwisho. ‘Atakamilisha ushindi wake’ kwenye vita ya Armagedoni, wakati atamaliza mwendo wa wale wengine watatu wenye kupanda farasi, na kisha atamaliza mambo ya mubaya yenye wameleta.