Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MAISHA YA MUKRISTO

Yehova Anapenda Mutu Mwenye Anatoa kwa Furaha

Yehova Anapenda Mutu Mwenye Anatoa kwa Furaha

Andiko la 2 Wakorinto 9:7, linatuambia hivi: “Kila mumoja afanye kama vile alikusudia katika moyo wake, haiko kwa kutokupenda wala kwa kulazimishwa, kwa maana Mungu anapenda mutu mwenye anatoa kwa furaha.” Leo tuko na njia mbalimbali zenye kufaa zenye tunatumia ili kutoa michango kupitia Enternete ili kutegemeza kazi ya Mashahidi wa Yehova, mu eneo letu na mu dunia yote.

MUANGALIE VIDEO NAMNA YA KUTOA MICHANGO KUPITIA JW.ORG, NA KISHA MUJIBIE MAULIZO YENYE KUFUATA:

  • Namna gani tunaweza kupata ukurasa wenye kuwa na habari juu ya michango ili kujua njia mbalimbali zenye tunaweza kutumia ili kutoa michango mu inchi yetu?

  • Ndugu na dada fulani wamepata faida gani kwa kutoa michango kupitia Enternete?

  • Tunaweza kutoa michango katika njia gani mbalimbali?

  • Tunaweza kufanya nini kama hatujue muzuri namna ya kutumia zile njia za mupya za kutoa michango kupitia Enternete?