Tarehe 11-17/11
2 YOHANA 1-13; 3 YOHANA 1-14–YUDA 1-25
Wimbo 128 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Tunapaswa Kupigana ili Kubakia Katika Kweli”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha 2 Yohana.]
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha 3 Yohana.]
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Yuda.]
Yud 3—“Mupiganie kabisa imani” (w04 15/9 uku. 11-12 fu. 8-9)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Yud 4, 12—Juu ya nini watu wenye hawamuogope Mungu wenye walijiingiza mu kutaniko walifananishwa na “miamba yenye kufichwa chini ya maji kwenye karamu . . . za kuonyesha upendo”? (it-1-F uku. 879; it-2 uku. 805 fu. 3)
Yud 14, 15—Juu ya nini Enoko alitumia wakati wenye ulipita ili kuzungumuzia tukio la wakati wenye kuja, na utimizo wa unabii wake ni nini? (wp17.1 uku. 12 fu. 1, 3)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) 2Yo 1-13 (th somo ya 12)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 1)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Jibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo lenu. (th somo ya 6)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Kisha umuachie mutu karte ya jw.org. (th somo ya 11)
MAISHA YA MUKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 90
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 147 na Sala