2 YOHANA 1-13; 3 YOHANA 1-14–YUDA 1-25
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU |Tunapaswa Kupigana ili Kubakia Katika Kweli
Yesu alisema hivi: “Mujikaze sana ili muingie kupitia mulango mwembamba.” (Lu 13:24) Maneno ya Yesu inaonyesha kama tunapaswa kujikaza sana ili tukubaliwe na Yehova. Yuda, ndugu ya Yesu, aliongozwa na roho juu aandike maneno yenye kufanana na ile: “Mupiganie kabisa imani.” Inaomba kujikaza sana ili kufanya mambo yenye kufuata:
-
Kukimbia uasherati.—Yud 6, 7
-
Kuheshimia wenye mamlaka.—Yud 8, 9
-
Kutia nguvu uhakika wetu katika ‘imani takatifu zaidi,’ ni kusema, mafundisho ya Kikristo.—Yud 20, 21