Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | 2 YOHANA 1-13; 3 YOHANA 1-14YUDA 1-25

Tunapaswa Kupigana ili Kubakia Katika Kweli

Tunapaswa Kupigana ili Kubakia Katika Kweli

Yuda 3

Yesu alisema hivi: “Mujikaze sana ili muingie kupitia mulango mwembamba.” (Lu 13:24) Maneno ya Yesu inaonyesha kama tunapaswa kujikaza sana ili tukubaliwe na Yehova. Yuda, ndugu ya Yesu, aliongozwa na roho juu aandike maneno yenye kufanana na ile: “Mupiganie kabisa imani.” Inaomba kujikaza sana ili kufanya mambo yenye kufuata:

  • Kukimbia uasherati.​—Yud 6, 7

  • Kuheshimia wenye mamlaka.​—Yud 8, 9

  • Kutia nguvu uhakika wetu katika ‘imani takatifu zaidi,’ ni kusema, mafundisho ya Kikristo.​—Yud 20, 21