Tarehe 18-24/11
UFUNUO 1-3
Wimbo 15 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ninajua Matendo Yako”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Ufunuo.]
Ufu 1:20—Yesu anaongoza mabaraza yote ya wazee (w12 15/10 uku. 14 fu. 8)
Ufu 2:1, 2—Yesu anajua mambo yenye iko inafanyika mu kila kutaniko (w12 15/4 uku. 29 fu. 11; w01 15/1 uku. 20-21 fu. 20)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ufu 1:7—Namna gani na wakati gani kila jicho litamuona Yesu “anakuja na mawingu”? (kr uku. 226 fu. 10)
Ufu 2:7—Kula “matunda ya ule muti wa uzima” katika “paradiso ya Mungu,” maana yake nini? (w09 15/1 uku. 31 fu. 1)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ufu 1:1-11 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 2)
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 5) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Kisha ufanye utangulizi wa video Sababu Gani Ujifunze Biblia? na uizungumuzie (lakini usiionyeshe). (th somo ya 3)
MAISHA YA MUKRISTO
“Yehova Anajua Mambo Yenye Tuko Nayo Lazima”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Ripoti ya 2017 ya Halmashauri ya Ufundishaji.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 91
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 151 na Sala