Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 18-24/11

UFUNUO 1-3

Tarehe 18-24/11
  • Wimbo 15 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • Ninajua Matendo Yako”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Ufunuo.]

    • Ufu 1:20​—Yesu anaongoza mabaraza yote ya wazee (w12 15/10 uku. 14 fu. 8)

    • Ufu 2:1, 2​—Yesu anajua mambo yenye iko inafanyika mu kila kutaniko (w12 15/4 uku. 29 fu. 11; w01 15/1 uku. 20-21 fu. 20)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Ufu 1:7​—Namna gani na wakati gani kila jicho litamuona Yesu “anakuja na mawingu”? (kr uku. 226 fu. 10)

    • Ufu 2:7​—Kula “matunda ya ule muti wa uzima” katika “paradiso ya Mungu,” maana yake nini? (w09 15/1 uku. 31 fu. 1)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ufu 1:1-11 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

MAISHA YA MUKRISTO