Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | UFUNUO 1-3

“Ninajua Matendo Yako”

“Ninajua Matendo Yako”

1:20; 2:1, 2

  • “Nyota saba (7)”: Wazee watiwa-mafuta kutia ndani wazee wengine wote

  • “Katika mukono wa kuume [wa Yesu]”: Yesu anachunguza, anaongoza kwa ukamili, na kutumia mamlaka yake juu ya zile nyota. Ikiwa katika baraza la wazee kuko mutu mwenye anahitaji kurekebishwa, Yesu atahakikisha kama jambo hilo linafanywa kwa wakati na kwa namna yenye inafaa

  • “Vinara saba vya taa vya zahabu”: Makutaniko ya Kikristo. Sawa vile kinara cha taa kilikuwa kinatoa mwangaza halisi katika tabenakulo, ni vile makutaniko ya Kikristo inatoa mwangaza wa kiroho. (Mt 5:14) Yesu “anatembea kati” ya vile vinara vya taa, ni kusema anasimamia kazi ya makutaniko yote