Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 16-22/12

ZABURI 119:57-120

Tarehe 16-22/12

Wimbo 129 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. Namna ya Kuvumilia Magumu

(Dak. 10)

Endelea kusoma na kujifunza Neno ya Mungu (Zb 119:61; w06-SW 15/6 uku. 20 fu. 2; w00-SW 1/12 uku. 14 fu. 3)

Ujifunze kupitia magumu (Zb 119:71; w06-SW 1/9 uku. 14 fu. 4)

Umuombe Yehova akusaidie (Zb 119:76; w17.07 uku. 13 fu. 3, 5)

UJIULIZE, ‘Yehova alishakanisaidia kuvumilia magumu mu njia gani za pekee?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 119:96 —Inawezekana hii andiko inamaanisha nini? (w06-SW 1/9 uku. 14 fu. 5)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Umuonyeshe mwenye-nyumba site yetu ya Enternete, na umupatie karte ya jw.org. (lmd somo ya 2 nukta ya 5)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Ualike mutu mwenye uko naongea naye ku hotuba ya watu wote, na umuonyeshe video Kwa Kawaida Tunafanya Nini Kwenye Jumba la Ufalme? (lmd somo ya 8 nukta ya 3)

6. Kufasiria Mambo Yenye Unaamini

(Dak. 5) Onyesho. ijwbq 157—Kichwa: Biblia Inasema Nini Juu ya Misiba ya Asili? (lmd somo ya 3 nukta ya 3)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 128

7. Yehova Anatusaidiaka Kuvumilia

(Dak. 15) Mazungumuzo.

Kuvumilia ni kupambana na magumu bila kuchoka. Inamaanisha pia kuendelea kuwa imara, kuwa na mawazo yenye kufaa kuhusu magumu yenye uko napambana nayo, na kuwazia wakati yenye hakutakuwaka tena magumu. Kama tuko na uvumilivu, “hatutarudia nyuma” ao kupunguza bidii yetu mu kazi ya Yehova wakati tunapata magumu. (Ebr 10:36-39) Yehova anapenda sana kutusaidia kuvumilia magumu.—Ebr 13:6.

Kisha kila andiko yenye kufuata, andika namna Yehova anatusaidiaka kuvumilia.

Muangalie VIDEO Sali kwa Bidii kwa Ajili ya Wale Wenye Kuvumilia Majaribu. Kisha uliza basikilizaji:

  • Namna gani tunaweza kutumia jw.org juu ya kuendelea kupata habari kuhusu bandugu yetu benye biko napambana na mateso juu ya imani yabo?

  • Namna gani bazazi banaweza kuzoeza batoto yabo kusali kwa ajili ya bengine, na juu ya nini ni muzuri kufanya vile?

  • Juu ya nini ni jambo ya maana sana kusali juu Yehova asaidie Bakristo benzetu kuvumilia?

  • Namna gani kusali kwa ajili ya bengine kunaweza kutusaidia kuvumilia magumu?

8. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 32 na Sala