Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Tarehe 9-15/12

ZABURI 119:1-56

Tarehe 9-15/12

Wimbo 124 na Sala | Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

1. “Namna Gani Kijana Anaweza Kufanya Njia Yake Iendelee Kuwa Safi?”

(Dak. 10)

Uendelee kujilinda (Zb 119:9; w87-SW 1/11 uku. 15 fu. 10)

Ushikamane na vikumbusho vya Mungu (Zb 119:24, 31, 36; w06-SW 15/6 uku. 25 fu. 1)

Ugeuzie mbali macho yako juu usiangalie mambo yenye haiko ya maana (Zb 119:37; w10-SW 15/4 uku. 20 fu. 2)

UJIULIZE, ‘Nilipata vikumbusho gani vyenye vinaweza kunisaidia niepuke kufanya mambo yenye haimufurahishake Yehova?’

2. Mali ya Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 119—Hii zaburi iliandikiwa mu stile gani, na inawezekana ni kwa sababu gani? (w05-SW 15/4 uku. 10 fu. 2)

  • Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ulipata mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia?

3. Usomaji wa Biblia

TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI

4. Kuanzisha Mazungumuzo

(Dak. 3) MAHUBIRI YA WAKATI WOWOTE. Anzisha mazungumuzo na mutu mwenye unakutana naye mu barabara wakati uko naenda mu mahubiri ya nyumba kwa nyumba. (lmd somo ya 1 nukta ya 4)

5. Kuendelesha Mazungumuzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mu mazungumuzo yenye inapita, mwenye-nyumba alikuambia kama mupendwa wake alikufa kunapita masiku kidogo tu. (lmd somo ya 9 nukta ya 3)

6. Hotuba

(Dak. 5) ijwyp 83-SW—Kichwa: Namna Gani Naweza Kupinga Vishawishi? (th somo ya 20)

MAISHA YA MUKRISTO

Wimbo 40

7. Video ya Mwezi wa 12 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo

(Dak. 10) Muangalie VIDEO.

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 5)

9. Funzo ya Biblia ya Kutaniko

Maneno ya Kumalizia (Dak. 3) | Wimbo 21 na Sala