Fuata Mufano wa Mutume Paulo wa Kuhubiri na Kufundisha
Namna gani tunaweza kufuata mufano wa mutume Paulo?
-
Tunaweza kutumia Maandiko ili kufikiri na watu, na kupatanisha mafundisho yetu na wasikilizaji wetu
-
Tunaweza kuhubiri fasi kwenye tunaweza kupata watu na wakati wanaweza kupatikana
-
Kwa ufundi tutafute jambo yenye tunaweza kukubaliana na wao mu mambo yenye wanaamini