Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 17-18

Fuata Mufano wa Mutume Paulo wa Kuhubiri na Kufundisha

Fuata Mufano wa Mutume Paulo wa Kuhubiri na Kufundisha

17:2, 3, 17, 22, 23

Namna gani tunaweza kufuata mufano wa mutume Paulo?

  • Tunaweza kutumia Maandiko ili kufikiri na watu, na kupatanisha mafundisho yetu na wasikilizaji wetu

  • Tunaweza kuhubiri fasi kwenye tunaweza kupata watu na wakati wanaweza kupatikana

  • Kwa ufundi tutafute jambo yenye tunaweza kukubaliana na wao mu mambo yenye wanaamini